
Paroles de Mnachangaya
Paroles de Mnachangaya Par NACHA
yasubi ndani ya mbanyu
Habari ndugu zangu marafiki jamaah
Nimesimama hapa kuwakilisha mtaa
Kwa usahihi na ufasaha mimi naitwa Nacha
Almaarufu Sandi Manara naamini mnanipata
Nimesimama hapa kuwakilisha mtaa
Kwa usahihi na ufasaha mimi naitwa Nacha
Almaarufu Sandi Manara naamini mnanipata
Taarifa njema kwamba nimealikwa na mzee
Mimi na yeye meza moja tuongee
Okey, usilete mambo ya uoga
Mtaani ni kugumu, kutwa tunakula zoga
Mimi na yeye meza moja tuongee
Okey, usilete mambo ya uoga
Mtaani ni kugumu, kutwa tunakula zoga
Mmmh, kugumu kivipi? Kutwa mnabeti
Instagramu peji zenu, picha za uchi mnaposti
Wasanii kufungiwa kucha kutwa yaani nuksi
Tatizo wasanii na nyinyi daily matusi
Instagramu peji zenu, picha za uchi mnaposti
Wasanii kufungiwa kucha kutwa yaani nuksi
Tatizo wasanii na nyinyi daily matusi
Madada wanaojiuza huku danguroni
Ah-ah, mimi siwezi kuongea na mzee mambo ya kihuni
Madawa hospitali, eeh hilo nitamwambia
Viwanda alivyosema, hilo nitamwambia pia
Wabunge kutukana bungeni bila siri
Siwezi kusema kuna kamati ya maadili
Hmmh, jeti neki hio ndo balaa
Mi siwezi nikasema, nyie mnataka nihame Dar
Ah-ah, mimi siwezi kuongea na mzee mambo ya kihuni
Madawa hospitali, eeh hilo nitamwambia
Viwanda alivyosema, hilo nitamwambia pia
Wabunge kutukana bungeni bila siri
Siwezi kusema kuna kamati ya maadili
Hmmh, jeti neki hio ndo balaa
Mi siwezi nikasema, nyie mnataka nihame Dar
Aaah, eeh mbona mnachanganya
Unatoka wapi urafiki wa paka panya
Aaaah, ah kumbe tunaelewana
Kakwambia nani undugu ni kufanana
Aaaah, mbona mnachanganya
Unatoka wapi urafiki wa paka panya
Aaaah, kumbe mnaelewana
Kakwambia nani undugu ni kufanana
Naam, madawa yanaharibu wanamziki
Hamsaidie mtoto ila anayaahidi
Ashasaidiwa na bado hashikiki
Nimeamini kweli kunguru hafungiki
Mi nilitegemea labda mtakuwa na hamu
Kwanini Bongo kichwa cha mwendawazimu
Hamna kazi na mmesoma mpaka chuo
Vikasa vipo wapi kama elimu ni ufunguo
Tajwa mboga mboga, ushuru kwenye koo
Uswazi mvua zikinyesha wanazibua vyoo
Ah, ihalalishwe bangi, acheni akili za kizembe
Hivi mnajua, ya kuwa, shujaa jing'ua
Zina madhara kwenu, tena sanaa
Mwisho ya yote nitapiga naye selfie
Nikaposti Insta kwangu na peji ni private
Okey, nadhani tumeelewana
Kila mmoja wetu ana majukumu ya kufanya
Utawasilisha vile vyote vyenye maana
Ushindi wetu ni umoja pamoja waungwana
Aaah, eeh mbona mnachanganya
Unatoka wapi urafiki wa paka panya
Aaaah, ah kumbe tunaelewana
Kakwambia nani undugu ni kufanana
Aaaah, mbona mnachanganya
Unatoka wapi urafiki wa paka panya
Aaaah, kumbe mnaelewana
Kakwambia nani undugu ni kufanana
Ecouter
A Propos de "Mnachangaya"
Album : Mnachangaya (Single)
Année de Sortie : 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2019
Plus de Lyrics de NACHA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl