
Paroles de Miayo
...
Paroles de Miayo Par MAUA SAMA
Ukweli ukiniacha mi nita umiaa
Maana moyoni nimeshakupendaa
Naomba univumilie mchumbaa
Leo tumekosa kesho tutapataa
Piga miayo mwanangu kama una njaa aah
Piga miayo baharia kama una njaa aah
Piga miayo mwanangu kama una njaa aah
Piga miayo baharia kama una njaa aah
Sama
Mwenzako nina joto naskia raha ka nirudi utoto
So baby give it to me ya moto
Ona sa unafanya naongea kingereza
Mara this mara that yani kingereza mara this mara that
Ukweli ukiniacha mi nitaumiaa
Maana moyoni nimeshakupendaa
Nakuomba univumilie mchumbaa
Leo tumekosa kesho tutapataa
Piga miayo mwanangu kama una njaa aah
Piga miayo baharia kama una njaa aah
Piga miayo mwanangu kama una njaa aah
Piga miayo baharia kama una njaa aah
Dada njoo dada njoo njoo njoo
Oya wee me na na na na nakupenda wewe
Ukija ku ku ku ku ku kuniacha mimi
Nita ta ta ta ta ta ta nitateseka
Naomba uni ni ni ni ni nikubalie
Mwenzako naumi mi mi mwenzako naumi mi mi
Mwenzako naumi mi mi mwenzako naumi mi mi
Ha ha ha haiya ni nimekuku ku ku ku ku kubalia
Kwa kwanzia le le leo ni ni wa wapenzi
Ah wachina ni wengi tunawajua
Ila mweusi ni mmoja chini ya jua
Hata maki ni wengi ila mwisha mmoja
Meneja Krisi nisalimie Tayo we sonko Tachi
Watoto hamweza bondeni
Gwiji Mwana FA heshima yako
We Umbwa Mwitu OG
Triple 9 baba
Yusufu Ngage
Usiniletee ua sama nikona Maua Sama humu
Ecouter
A Propos de "Miayo"
Plus de Lyrics de MAUA SAMA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl