MAGGIE MULIRI Nitafika Tu cover image

Paroles de Nitafika Tu

Paroles de Nitafika Tu Par MAGGIE MULIRI


Nina imani nitafika
Jibu ni kufika
Japo uwoga na wasi wasi
Nitafika niendapo

Jibu kwa moyo mwangu, nitafika eeeh
Natamani kuenda kule nionapo
Nina shauku ya kutekeleza
Maono yangu eeh 

Lakini vikwazo ni vingi sana
Lakini majaribu ni mengi sana
Oooh wa kunivunja moyo 
Ni wengi sana njiani

Pharao na jeshi lake hawataki kuniacha 
Jibu kwa moyo wao, nitafika
Japo milima na mabonde 
Nitafika nitafika niendapo oooh

Nahitaji nehema yako Jehovah
Nifike niendapo ooh
Nahitaji msaada wako baba
Nifike niendapo ooh

Naomba nishike mkono
Nifike niendapo
Jibu kwa moyo wangu
Nikufika

Bado nina pumzi, tumaini langu lipo(Nitafika tu)
Sikupata leo, kesho inakuja oooh(Nitafika tu)
Baada ya kesho, mwezi ujao unakuja(Nitafika tu)
Najipa moyo mwaka kesho nitafaulu eeh(Nitafika tu)

Hata kama jaribu lako lilikuwa ngumu wewe(Utafika tu)
Huruma ya Mungu imekutafuta leo(Utafika tu)
Hata kama mapito yalikuwa ni mengi kwako(Utafika tu)
Wema wa Mungu umekutafuta leo(Utafika tu)

Nikufika nikufika wee(Utafika tu)
Nikufika nikufika wee(Utafika tu)

Ata usiku uwe mrefu kutakucha
Ata giza iwe kubwa nuru itatokea
Jibu ya maisha yako ipo leo

Ata safari iwe na vikwazo utafika
Hata jaribu liwe nzito utavuka
Jibu ya maisha yako ipo leo

Unamkumbuka Sara alipata mtoto uzeeni
Unamkumbuka Hannah mpaka alichekwa oooh
Kumbe tumboni mwake amembeba Samweli
Nehema ya Mungu bado iko nawe

Yamkini huduma yako imebeba vitu vingi
Hata giza liwe kubwa nuru nayo ipo
Nehema ya Mungu bado iko nawe

Hata maji yawe marefu basi kuna ukingo wake
Nehema ya Mungu bado iko nawe
Huruma ya Mungu bado inakutafuta aah

Nimejitahidi sana bila mafanikio(Nitafika tu)
Haijalishi shida, vikwazo safarini wee(Nitafika tu)
Sijali wangapi wananikatisha tamaa(Nitafika tu)
Wala sitajali mazingira ninayoyapitia(Nitafika tu)

Hata kama jaribu lako lilikuwa ngumu wewe(Utafika tu)
Huruma ya Mungu imekutafuta leo(Utafika tu)
Hata kama mapito yalikuwa ni mengi kwako(Utafika tu)
Wema wa Mungu umekutafuta leo(Utafika tu)

Nikufika nikufika wee(Utafika tu)
Nikufika nikufika wee(Utafika tu)

Ecouter

A Propos de "Nitafika Tu"

Album : Nitafika Tu (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c)2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 31 , 2019

Plus de Lyrics de MAGGIE MULIRI

MAGGIE MULIRI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl