Paroles de Corona Par LAVA LAVA


(Banny Music)

Ee Mola waja wako tumesimama 
Tuonyeshe suluhisho
Kutwa tumeshika tama
Hatuishi masikitiko

Ama hizi ndo zile zama
Ziloandikwa za mwisho
Oooh mtoto analia baba mama
Wote manung'uniko

Nilidhani utani wanatudanganya
Waongo nikawaona, nikawaona
Si unajua vijana wa maskani, wajuaji sana
Eti Bongo hakuna Corona, Corona

Mara kitimu timu 
Nasikia habari, kila nikipita
Waziri Umi mwalimu 
Katangaza tayari, kuna waadhirika

Makundi kundi matimu
Tamko la serekali, marufuku kukusanyika
Ukanipata wazimu
Nitapata wapi ugali? Show zote zimevunjika

Mmmh sekondari, primary 
Na vyuo vyote vifungwe
Ukiona una mbaya dalili
Muone doctor usivunge

Eeh hili ngojwa hatari
Kabisa tujichunge
Usije ukafanya siri
Itakuua

Corona, corona eeh! Unataka nini?
Corona, corona eeh! Kwetu umefuata nini?
Corona, corona eeh! Umekosea nini?
Corona, corona eeh! Utaondoka lini?

Moyo umetanda hofu
Masikini mimi
Ndugu zangu walotoka Europe 
Wote wako karantini

Ishamkumba SK, wasi wangu Salam
Na yule Mwana FA, washaposti Instagram
(Sorry, naomba kurudia kidogo)
(Kipande hiki kimenihuzunisha sana)
Ishamkumba SK, wasi wangu Salam
Na yule Mwana FA, washaposti Instagram

Eeh na sasa Wasafi kweupe
Hakuna watu ofisini
Naona marupe rupe
Jamani tuwe makini

Mmmh sekondari, primary 
Na vyuo vyote vifungwe
Ukiona una mbaya dalili
Muone doctor usiunge

Eeh hili ngojwa hatari
Kabisa tujichunge
Usije ukafanya siri
Itakuua

Corona, corona eeh! Unataka nini?
Corona, corona eeh! Kwetu umefuata nini?
Corona, corona eeh! Umekosea nini?
Corona, corona eeh! Utaondoka lini?

Mikono kwa sabuni, osha osha
Kwa sekunde ishirini, osha osha
Vaa mask usilete uhuni, osha osha
Ukiwa nyumbani ofisini, osha osha

(In God We Trust)

Ecouter

A Propos de "Corona"

Album : Corona (Album)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 22 , 2020

Plus de Lyrics de LAVA LAVA

LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl