KIKOSI KAZI  Fanya Wewe cover image

Paroles de Fanya Wewe

Paroles de Fanya Wewe Par KIKOSI KAZI


Yeah kikosi kazi, unju

[Nikki Mbishi]
Nikki siku hizi umechuja huna tena rap skills
Ulikuwa Michael Tyson wa rap cat skills
I wish you could come back here
Ukifuse hiphop na afropop utabamba still

Umeshuka kiwango homeboy
Huna mipango on point
Siku hizi mi, siku hizi chambo hunitoi
Maneno unatafuna kama veve
Ukiona nazingua fanya wewe4

[One the Incredible]
Mi naipenda ikiwa ngumu tight nzito
Nifanye milele iweze dumu zaidi ya kifo
Nisonge mbele au nipush mpaka mwisho
Na si mamiss wanichum wakinizoom

Ndani ya disco nifanye iwe bora 
Sio kubali kama groupie
Ukinichora fikisha taifa kwa mamluki
Fanya iwe vita pistol au mikuki
Na yote ni love bila chuki, fanya wewe

Fanya wewe, fanya wewe (Tarararara)
Fanya wewe, fanya wewe (Tarararara)
Fanya wewe

Kama nachofanya nakosea (Fanya wewe)
Njia nayopita napotea (Fanya wewe)
Wala hautaki mi kuongea (Fanya wewe)
Fanya wewe, Fanya wewe, Fanya wewe

[Azma]
Naishi life ya kireggeaton
Na survive niko mchakatoni
Nashika mic mpaka microphone
Weka like ka unataka koni

Kwenye mapya Tanzania
Bado niko juu zaidi ya vile wanavyodhania
Love iko tu hata ka wakinibania
We unayenichana kindezi nakukanya ukome
Ka unaona siwezi fanya wewe tuone

[Sterio]
Yeah ah kuvaa vaa matunguli (Fanya wewe)
Kumvagaa vagaa Magufuli (Fanya wewe)
Kung'aa ng'aa na mapuli (Fanya wewe)
Kuzagaa zagaa makubuli 

Kununua mashangu siza kona baa
Corona sio ndegu fever homa daa
Kupanga mikakati na mashoga
Kufanya harakati na waoga

Fanya wewe, fanya wewe (Tarararara)
Fanya wewe, fanya wewe (Tarararara)
Fanya wewe

Kama nachofanya nakosea (Fanya wewe)
Njia nayopita napotea (Fanya wewe)
Wala hautaki mi kuongea (Fanya wewe)
Fanya wewe, Fanya wewe, Fanya wewe

With the best rap group kwa nyumba
Hapa maboya wakijitusu wanadundwa
Tupo kwa hiphop si zouk na rhumba
Tunafanya yetu vipi wanajitusu wanayumba

Mi ni rapper mi ni mwandishi mi ni entertainer
Na bila ubishi niko hapa nawakilisha vyema
I do what I do sifosi nielewe
Na kama ukiona mi siwezi fanya wewe

[Mansu-Li]
I've been doing this like this is day one
If you aren't my gadmn fan you better run run
Nilianza na kina kirefu na Hami bee 
Niite gangster na mitaa ikatiii

Iweje leo unataka nibadilike 
Nibane pua kidogo ndo niwashike
I'ma do me I don't wanna do you
Naifanya hii from my people around you
Kama unaona siwezi fanya wewe 
Kama ni ndege eagle na siwezi kuwa mwewe

Fanya wewe, fanya wewe (Tarararara)
Fanya wewe, fanya wewe (Tarararara)
Fanya wewe

Kama nachofanya nakosea (Fanya wewe)
Njia nayopita napotea (Fanya wewe)
Wala hautaki mi kuongea (Fanya wewe)
Fanya wewe, Fanya wewe, Fanya wewe

Ecouter

A Propos de "Fanya Wewe"

Album : Fanya Wewe (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Oct 09 , 2020

Plus de Lyrics de KIKOSI KAZI

KIKOSI KAZI
KIKOSI KAZI
KIKOSI KAZI
KIKOSI KAZI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl