
Paroles de Bye Wewe
Paroles de Bye Wewe Par KARMA
Kama umeshindwa pokea
Hisia zangu nilizokwambia
Umenipa maumivu
Kisa mapenzi mi nakwambia
Siri si siri tena
Maana nafsi inaniumbua eh
Ata nikisema nifiche
Mapenzi yananiumbua eh
Salama si tulizo la moyo
Ukweli ni jambo jema
La kupokea kuna maumivu yake
Mmmh
Salama ni la moyo
Ukweli ni jambo jema
La kupokea kuna maumivu yake
Upendo kutendwa
Mapenzi yamefika ukingoni
Mie mjinga sikurogi kwa ubani
Bye wewe, bye wewe
Bye wewe, bye wewe
Sikatai ulichoniambia
Japo ukwasi itanisumbua
Asili ya macho daima kulia
Maumivu nitayavumilia
Najua shida
Ndo mwanzo ya raha
Mapenzi huchezwa na star
Umesepa na yangu furaha
Salama si tulizo la moyo
Ukweli ni jambo jema
La kupokea kuna maumivu yake
Mmmh
Salama ni la moyo
Ukweli ni jambo jema
La kupokea kuna maumivu yake
Upendo kutendwa
Mapenzi yamefika ukingoni
Mie mjinga sikurogi kwa ubani
Bye wewe, bye wewe
Bye wewe, bye wewe
Jua la utosi
Lina kitanzi machoni
Penzi hekalu la roho
Mulika macho
Jua la utosi
Lina kitanzi machoni
Penzi hekalu la roho
Mulika macho
Upendo kutendwa
Mapenzi yamefika ukingoni
Mie mjinga sikurogi kwa ubani
Bye wewe, bye wewe
Bye wewe, bye wewe
Ecouter
A Propos de "Bye Wewe"
Plus de Lyrics de KARMA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl