
Paroles de Nitabibu wa Karibu
Paroles de Nitabibu wa Karibu Par JOSE WA MAPENDO
Ni tabibu wa karibu tabibu wa ajabu;
na rehema za daima ni dawa yake njema.
Imbeni, malaika sifa za Yesu Bwana
pweke limetukuka jina lake Yesu
Hatufai kuwa hai wala hatutumai
ila yeye kweli ndiye atupumzishaye
Imbeni malaika sifa za Yesu Bwana
pweke limetukuka jina lake Yesu
Dhambi pia na hatia ametuchukulia
Twenendeni na amani hata kwake mbinguni
Huliona tamu jina, la Yesu kristo Bwana
yuna sifa mwenye kufa asishindwe na kufa
Kila mume asimame, sifa zake zivume
Wanawake na washike kusifu jina lake.
Na vijana wote tena, wampendao sana,
waje kwake wawe wake kwa utumishi wake.
Ecouter
A Propos de "Nitabibu wa Karibu"
Plus de Lyrics de JOSE WA MAPENDO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl