JIMMY GAIT Corona cover image

Paroles de Corona

Paroles de Corona Par JIMMY GAIT


Ilikuwa ni Monday morning
My phone ika ring ring ring
Nilipokea simu yangu
Ilikuwa ni Akinyi

Amekuwa ni rafiki wa karibu
Just the other day kaolewa majuu
Hey hello, 'Jimmy' 
'Are you okey? Are you okey?' 

Your husband?
Ni nini imefanyika?

"Bwana yangu amekufa, 
Alikuwa anakohoa sana, joto jingi
Na kushindwa kupumua
Daktari alisema ni Corona"

Oooh Corona, watisha ulimwengu
Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa
Itakuwa sawa(Sawa sawa)
Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)

Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sa, sawa sa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sa, sawa sa, sawa sawa

Hata kama kuna wingu limetanda
La Corona linatisha sisi wote
Kwa pamoja tunaweza kujikinga
Kwa kufuata maagizo kama haya

Kwa mara nyingi osha mikono yako kwa sabuni
Na usiguze macho, mdomo na hata na mapua
Ni bora ufunikie mdomo kama wakohoa
Maumivu yakizidi ona daktari
Na walioadhirika ni watu kama sisi 
Tusiwaachilie

Oooh Corona, watisha ulimwengu
Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa
Itakuwa sawa(Sawa sawa)
Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)

Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright

Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright

Ecouter

A Propos de "Corona"

Album : Corona (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 14 , 2020

Plus de Lyrics de JIMMY GAIT

JIMMY GAIT
JIMMY GAIT
JIMMY GAIT
JIMMY GAIT

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl