
Paroles de Furaha
Paroles de Furaha Par IYANII
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Kwa sherehe tumefika
Sherehe tumefika
Kwa sherehe tumefika
Sherehe tumefika
Familia iko ndani, ndani
Wote tunajibamba
Marafiki majirani, rani
Wote tunajibamba
I am happy today, so happy
I am happy today, so happy
Ju sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Pem-peremre (Iyanii)
Pem-pem-pem-peremren (Iyanii)
Pem-peremre (Iyanii)
Pem-pem-pem-peremren (Iyanii)
Comrades power (Power)
Comrades power (Power)
Niruhusu leo niwaite makondoo (Aii)
Skiza, ship yaani kondoo is for friend (Ship)
For better for worse yaani through hard (Ship)
Na kuanzia leo that's our relation (Ship)
Ship power (Power)
Ship power (Power)
I am happy today, so happy
I am happy today, so happy
Ju sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Aiiii-ih
Mnanibamba mbaya, ah wote
Tiki (Taka) Tiki (Taka) Tiki (Taka)
Tiki (Taka) Tiki (Taka) Tiki (Taka)
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Ecouter
A Propos de "Furaha "
Plus de Lyrics de IYANII
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl