HARMORAPA Ajitokeze/Mr.Kiki  cover image

Paroles de Ajitokeze/Mr.Kiki

Paroles de Ajitokeze/Mr.Kiki Par HARMORAPA


Wananiita Harmorapa mister kiki
Nikifanya kipigo, ngoma zao haziskiki
Wakiziba huku mi napita kule
Wakirusha machupa narusha madude

Madem wakali, mimi
Ngoma kali, mimi
Madem wakali, mimi
Ngoma kali, mimi

Na story zinazohit mtaani why mimi?
Asante sana Social network
Kwangu hazikabi, hamna beki
Kila nikigusa, wire
Harmorapa in the building, fire 

Nawanyorosha kwenye top ten
Kwenye top ten, mi nashika namba moja
Acha wavimbe, wapasuke

Aaah eyaaa ah ah ah
Eyaaa ah ah ah, eyaa
Kama yupo ajitokeze 
Aaah eyaaa ah ah ah
Eyaaa ah ah ah eyaa

Kama yupo ajitokeze 
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi

Kwenye hili game
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi

Kwenye hili game

Nishakuwa mfagizi chini ya miti
Nazijua kero za majani
We na majani hayafadhiliki
Ndo maana sipatani na majani

Nachukiwa na wazembe mpaka bars
Mi player, nisotegemea pass
Mi ni gem sina shobo na nyasi
Karibu sana kama unataka nafasi

Nahitaji msaidizi ila sie wa kushare naye dem
Nataka wa kukaba nafasi
Mwenye punch zaidi ya mimi
Kwenye hili game

Nawanyorosha kwenye top ten
Kwenye top ten, mi nashika namba moja
Acha wavimbe, wapasuke

Aaah eyaaa ah ah ah
Eyaaa ah ah ah, eyaa
Kama yupo ajitokeze 
Aaah eyaaa ah ah ah
Eyaaa ah ah ah eyaa

Kama yupo ajitokeze 
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi

Kwenye hili game
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi

Sasa mambo barabara
Hainaga mjadala
Mi nakesha piga sala
We unakesha kunywa makangara

Aaah eyaaa ah ah ah
Eyaaa ah ah ah, eyaa
Kama yupo ajitokeze 
Aaah eyaaa ah ah ah
Eyaaa ah ah ah eyaa

Kama yupo ajitokeze 
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi

Kwenye hili game
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi
Nahitaji msaidizi

Sasa mambo barabara
Hainaga mjadala
Mi nakesha piga sala
We unakesha kunywa makangara

Ecouter

A Propos de "Ajitokeze/Mr.Kiki "

Album : Ajitokeze/Mr Kiki (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Oct 05 , 2019

Plus de Lyrics de HARMORAPA

HARMORAPA
HARMORAPA
HARMORAPA
HARMORAPA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl