GUARDIAN ANGEL Nipandishe  cover image

Paroles de Nipandishe

Paroles de Nipandishe Par GUARDIAN ANGEL


Mbiu uya migambo ikilia kuna jambo
Nami nalia kwasababu nina jambo
Hali ya dunia inanionyesha mambo
Njoo tembea nami hapa kando

Ee mkono wako unafikia watu kila sehemu
Naomba Bwana uje unirehemu
Uje unirehemu hii milima Yesu nipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Ee mkono wako unafika kila pande bwana
Unafika kila sehemu
Unabadilisha maisha ya kila binadamu bwana
Machali na mademu

Wale wamegive up kwa love na wanakuhitaji Bwana
Najua utawarehemu
Wahisi maisha yao yako same
Ila bwana uwabadilishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Mbele nina endelea
Ninazidi kutembea
Maombi uyasikie
Ee Bwana unipandishe 

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Ukinipandisha mi nakuahidi
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana

Ukiniinua mimi nita
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya bwana
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya bwana

Ecouter

A Propos de "Nipandishe "

Album : Nipandishe (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021 7 Heaven Music
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 14 , 2021

Plus de Lyrics de GUARDIAN ANGEL

GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl