
Paroles de Nichunguze
...
Paroles de Nichunguze Par EVE NYASHA NGOLOMA
Nimekuja na moyo uliyopondeka
Ninahisi ni kama umeuficha
Uso wako na uwepo wako
Nanyenyekea nimerudi, naomba tena
Usiufiche uso wako nakuomba eeh bwana nakutegemea
Kila wakati ningependa
Ujue kwamba nakuhitaji sana
Kila wakati ningependa
Ujue kwamba nakuhitaji sana
Nimekubali udhaifu, wangu wa mwili
Ninachotaka kufanya sikifanyi
Nisichotaka kufanya, ndo zaidi nafanya
Nakuhitaji
Ninarudi kwako naomba
Unisamehe tena
Usiniwache pekee yangu
Nitapotea bwana
Kisha ulichopanga kufanya
Kupitia kwangu, hakitaweza kutimilika
Kusudi lako maishani mwangu
Halitaweza kutimia nitahangaika
Usiufiche uso wako
Nakuomba tena
Usiniache pekee yangu
Nitapotea bwana
Kila wakati ningependa
Ujue kwamba nakuhitaji sana
Kila wakati ningependa
Ujue kwamba nakuhitaji sana
Sana sana sana
Ni wapi n’taenda
Mbali na wewe bwana
Ni wapi ntajificha
Usipoweza kuniona
Bwana aaahhh
Kwa kweli hakuna aaaah
Nichunguze unijue bwana
Yajaribu mawazo yangu bwana
Na iwapo kuna kitu ndani yangu kisichokupendeza
Ukitoe kisha uniongoze bwana
Nichunguze unijue bwana
Yajaribu mawazo yangu bwana
Na iwapo kuna kitu ndani yangu kisichokupendeza
Ukitoe kisha uniongoze bwana
Nichunguze unijue bwana
Yajaribu mawazo yangu bwana
Na iwapo kuna kitu ndani yangu kisichokupendeza
Ukitoe kisha uniongoze bwana
Nichunguze unijue bwana
Yajaribu mawazo yangu bwana
Na iwapo kuna kitu ndani yangu kisichokupendeza
Ukitoe kisha uniongoze bwana
Niende wapi mbali
Niende wapi mbali na wewe
Hakuna pahali mbali
Niende wapi mbali na wewe
Kama ni mbinguni, wewe upo
Kama ni kuzimu, wewe upo
Mwisho wa bahari, wewe upo
Nikiwa gizani, wewe upo
Weh bwana uko name, wewe upo
Nikiteleza naamini, wewe upo
Kamwe huniachi, wewe upo
Unatembea na mimi, wewe upo
Niende wapi mbali
Niende wapi mbali na wewe
Hakuna pahali mbali
Niende wapi mbali na wewe
Ecouter
A Propos de "Nichunguze"
Plus de Lyrics de EVE NYASHA NGOLOMA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl