Paroles de Wewe ni Zaidi
Paroles de Wewe ni Zaidi Par ERICK SMITH
Ninashangaa nikielewa
Wewe ni zaidi ya vile nilivyoambiwa juu yako
Tena sauti yako baba yanizidia
sauti zote ninazosikia
Yale umetenda Baba Yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upenda
Yale unasema Babayote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo
Nimejipata ndani ya upendo wako
umekuwa kwangu mapumziko
neema yako yanitosha
Nikiwa nawemimi niko huru
Wewe ni Mungu Mkuu
Mfalme wa wafalme
Muumba mbingu na nchi
Heshima zote ni zako bwana
Hakuna kama wewe
Yale umetenda Baba Yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upenda
Yale unasema Babayote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo
Ecouter
A Propos de "Wewe ni Zaidi"
Plus de Lyrics de ERICK SMITH
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl