
Paroles de Yente
Paroles de Yente Par DOGO JANJA
Smile for me baby, yeah
Tabasamu baby yeah
Smile for me baby, yeah
Tabasamu baby yeah
Hakuna wasi mambo yente(yente)
Mama mama mambo yente(yente)
Hakuna wasi mambo yente(yente)
Mama mama mambo yente(yente)
Sijaelewa vipi kwa nini unanuna mama
Nisikize mimi hao wanakudanganya
Kachumbari hainogi bila kitunguu nyanya
Udambwi udabwi mwingi kiunoni biringa yeah
Halima, Salima, Amina
Wote nimewakataa
Mwajuma,Carolina na Fatuma
Wote nimewakataa
Smile for me baby yeah
Tabasamu baby yeah
Smile for mr baby yeah
Tabasamu baby yeah
Hakuna wasi mambo yente(yente)
Mama mama mambo yente(yente)
Hakuna wasi mambo yente(yente)
Mama mama mambo yente(yente)
Ukitabasamu nami nitatabasamu
Unapaswa kufahamu we ni zaidi ya utamu
Kuwekaga jam ndo zao binadamu
Nakula vitamu wanasema ni vya haramu (yeah,yeah)
Halima, Salima, Amina
Wote nimewakataa
Mwajuma,Carolina na Fatuma
Wote nimewakataa
Smile for me baby yeah
Tabasamu baby yeah
Smile for me baby yeah
Tabasamu baby yeah
Hakuna wasi mambo yente(yente)
Mama mama mambo yente(yente)
Hakuna wasi mambo yente(yente)
Mama mama mambo yente(yente)
Ecouter
A Propos de "Yente"
Plus de Lyrics de DOGO JANJA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl