Paroles de Ntambia nini Watu Par DMORE


Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?
Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Cheza lotto, cheza kamari washa nare
Purura ruracio nilipull up ka odinare
Kula mbleina mbosho mjoro msare na suruari
Gizani baze ngware chebe mchwape na Mshwari

Moshi na itoka, harufu haitoki
Msupa wa ghetto nilimpeleka katululu shopping
Ndege bogi benda, rowesa in de
Rong rende hizo mbogi genje

Seska kwa mbavu yu hunituliza roho
Mshenzi huyo swanse amenilkula brown
Nilimkemba na madigola akafungua roho
Nikiwa matundu, mavitunguu na Dmore wa Ochungulo

Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?
Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Brathe nimekafunga ka shop za Bet In
Pedi wangu huuza gode ndani ya canteen
Mi hupiga ngasha kwanza nikiwa taxin
Hio ndo njaro ya kuhata Covid 19

Cha mkufuu mwanafuu Ha!
Na akila mwanafuu Hu!
Cha mwanafuu mkufuu Hu!
Na akila mkufuu, aii

Hawezi konda
Hata ukule feelings bado hauwezi nona
Dem alikula vela akajipata kwa mrota
Mboka ni mboka na nyoka ni nyoka aaiii

Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?
Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Confessions, confessions
Nafungua roho ndo niji-validate
Kutokanga bila juanga huyo si mimi
Nakata wasupa buda si ati nini

Sexting mi na Diana
Kwa giza ni saa ile banye amelala
Omusakhole we wamboreshi
Omusakhole we wamboreshi

----
----

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Nimewekewa kuku manga 
But sitawacha kukumanga
Mi ndio daktari wa miti shamba 
Nairobi nimejaza mashamba

Nimekwama nimekwama mara mingi
But sex sitawacha
Kijana Headi, mpaka River-Road
Makahaba headmaster

Man a D, Man a D
King pin, King pin
Hao huniona hunikimbilia
Ju ju mi ni sponji

Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?
Nikishikwa na dem yako, ntambia nini watu?
Akisema ananipenda, ntambia nini watu?

Yoh amereremba mi humnyc
Akiniona ye hufurahi, ntambia nini watu?
Ni mtamu na ni fries
Tamu na ni fries, ntambia nini watu?

Ecouter

A Propos de "Ntambia nini Watu"

Album : Ntambia Nini Watu (Album)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : May 02 , 2020

Plus de Lyrics de DMORE

DMORE
DMORE
420
DMORE
DMORE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl