DIANA BAHATI Hatutaachana cover image

Paroles de Hatutaachana

Paroles de Hatutaachana Par DIANA BAHATI


Mapenzi tight ka kifuniko ya gas
My future bright si ni zaidi ya stars
Wanaosema tutaachana, sidanganyi watangoja sana
Yetu si ya Konde Boy na Kajala
Mapenzi za kujienjoy ya kifala
Ama kama Lilian na Governor
Vita za Chris Brown na Rihanna

Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua

Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu

Wenye roho chafu ni time wazioshe
Hatuwachani kama Jay na Beyonce
Hii ni key na deeper than the ocean
Hakuna kupima twapeana yote yote

Hii si sinema ni pingu za maisha
Sisi together ni mbingu ilipitisha
Wanawaza kutuput asanda
Watawaza akili zitaganda

Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua

Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu

Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa huwezi nunua

 

Ecouter

A Propos de "Hatutaachana"

Album : Hatutaachana (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 29 , 2021

Plus de Lyrics de DIANA BAHATI

DIANA BAHATI
DIANA BAHATI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl