D LOVE Nitavumilia  cover image

Paroles de Nitavumilia

Paroles de Nitavumilia Par D LOVE


Yaliniumiza nikajitia kusahau nikapenda tena
Yakaniliza tena na bado napenda
Stress za kufululiza
Nilivyo dhaifu sijui ata kusema sema 
Nashukuru Mungu nahema na leo nimependa

Ndio yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha,ananiendesha
Kumuacha siwezi, maana ndo moyo nilipouegesha
Mvua zikinyesha, ananiponyesha

Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutangatanga
Sio poa nitavumilia tantalala

Kanilambisha asali
Kila nikiwaza kumuacha wazo lapotea 
Navua suruali
Ninatafuta na maji yakulowekea 
Penzi ndo serikali 
Naye ndo Rais siwezi kumfokea
Ila potelea mbali ninaridhishwa na mapenzi 
Anayoniwekea

Nikinuna nalishwaga msatusatu
Sikumbuki nilishafunga chata
Tukishibaga kinachofata 
Utelezi kwa makamaka

Ndo yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha, ananiendesha

Kumuacha siwezi
Maana ndo moyo nilipo uwegesha
Mvua zikinyesha,ananiponyesha

Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutanga tanga
Sio poa aah! nitavumilia tatalala

Ecouter

A Propos de "Nitavumilia "

Album : Nitavumilia (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2021

Plus de Lyrics de D LOVE

D LOVE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl