Paroles de Ipepee Par BWANA MISOSI


Blessings
Misosi

Am sorry brother
We sio uliimba sa utatoka Vipi
Sikuskii tatizo Ni lipi
Umefeli ama umekosa Kiki
Mpaka nikadhani umekosa Chichi

Aaah ah Niko chimbi najipanga
Maana Muziki wa bongo umejaa mavituko
Wengine mnawanga wengine mnadanga
Ninakumbuka wimbo wa madame wa Tanga
Dah Ule Noma ulipasua ule dimbo la anga
Kwenye Mapenzi Tanga Hakunanga
Maana nilimpata mmoja alivuja Kama tags

Hivi mnajua wadogo mnazingua
Wenye Camera kwanza Ngoja
Msiba
Mista ebo ulitokea??
Ngoja kwanza Ila wangwea nilihudhuria Kinyama
Wengine sio mastar bwana wachana na hizo mambo

Kelele Mingi mnatuchosha
Wacha Muziki itawale
Tusikie Unapepea
Wikendi mnataka makiki mnazusha
Mnatangaza mmekufa Tena baada ya Siku mmefufuka
Nyumba Ni digitali

Hivi una Mtoto ??
Ah ah
Naona Kama unapitia changamoto
Maisha freshi Niko msafi sina msoto
Hauna Show bana unakiona kwa Moto

Wanapigwa huku na kupigwa Kule
Media zenyewe zimesababisha misukule
Eti bro show Zako ulikua unalipwa ngapi
Niliskia ulikua unalipwa elfu hamsini tu

Kelele Mingi mnatuchosha
Wacha Muziki itawale

Ecouter

A Propos de "Ipepee"

Album : Ipepee (Single)
Année de Sortie : 2020
Ajouté par : Its marleen
Published : Sep 18 , 2020

Plus de Lyrics de BWANA MISOSI

BWANA MISOSI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl