
Paroles de Navutishwa
...
Paroles de Navutishwa Par BENSOUL
Navutishwa, oh, navutishwa
Moshi pia napuliziwa
Navutishwa, oh, navutishwa
Naishi kama paka, nalishwa
Navutishwa, oh, navutishwa
Haya mapenzi sijalipishwa
Navutishwa, oh, navutishwa mama
Navutishwa, oh, navutishwa mama
Msosi delivery
Pombe chemikali
Mapenzi halali
Ilikuwanga silali hapo awali
Kanairo hakuna amani
Her coochie on fire, can't deny
Miguu zake hunizunguka kama tire
Akibend over ni game over
Ona nasosi mpaka naitisha saucer
Nakulishwa, eh (matamu ya roho)
Naogeshwa, eh (oh, mamou)
Ngotha mbichi navalishwa, eh
Kidogo tu ninyonyeshwe, eh
Dredi zangu zisokotwe
Shingo nimassagiwe
Nasanifiwa, narolliwa, kisha navutishwa
Navutishwa, oh, navutishwa
Moshi pia napuliziwa
Navutishwa, oh, navutishwa
Naishi kama paka, nalishwa
Navutishwa, oh, navutishwa
Haya mapenzi sijalipishwa
Navutishwa, oh, navutishwa mama
Navutishwa, oh, navutishwa mama
Kuamka kung'ara na kukaa tu
Kula mahaba ya kistaarabu
Natabasamu bila sababu
Kitandani nafunzwa adabu
Kukaa kukaliwa, kulala kulaliana na kulaliwa
Maisha ya ghorofa
Nikitoka kitandani, naruka kwa sofa
Wi-Fi imelipiwa, eh
Nadekezwa, eh
Upara napapaswa, eh
Nabembelezwa, eh
Natulizwa, eh
Uso nakaliwa, eh
Nasanifiwa, narolliwa kisha navutishwa Mama
Navutishwa, oh, navutishwa
Moshi pia napuliziwa
Navutishwa, oh, navutishwa
Naishi kama paka, nalishwa
Navutishwa, oh, navutishwa
Haya mapenzi sijalipishwa
Navutishwa, oh, navutishwa mama
Navutishwa, oh, navutishwa mama
Ecouter
A Propos de "Navutishwa"
Plus de Lyrics de BENSOUL
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl