Paroles de Chichi
Paroles de Chichi Par BENSON
Mr Lg
Kushushia yangu kweli kweli
Kwa Nini kuchanganya miti
Ya chini ya kabeti
We ndio yangu furaha
Uje usije unitie mwiba
We ndio rafiki wa Faida
Wakikupa neno usije ukapokea
Kuna mvua Kuna jua
My man Chichi
My man Chichi Chichi
Usije kukigawa kijiti
My man Chichi
My man Chichi Chichi
Usije kukigawa kijiti
Hofu yako nishaijua
Mie wako tetele
Madhati ya Nini
We ndio rafiki wa faida
Tunacho jenga wasije bomoa
Kuna mvua Kuna jua
My man Chichi
My man Chichi Chichi
My man Chichi
My man Chichi Chichi
Usije kukigawa kijiti
Waaaaaaa waaaaaa
Waaaaaa waaaaaa
Ecouter
A Propos de "Chichi"
Plus de Lyrics de BENSON
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl