Paroles de Anajua Par BENACHI


Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Roho inadunda dunda (Dunda)
Na tena machozi yanakutoka
Mungu anaplan na wewe 
Usiwe na hofu wewe

Alikokutoa ni mbali 
Unakoenda ni mbali
Jifunze kuwa na imani
Mmmh kuwa na imani

Subiri subiria kwa imani
Hautodumu kwenye hii hali
Ahadi zake hazitumiki milele
Kwenye hali zote Mungu yupo nawe
Ahadi zake hazitumiki milele
Milele eh, milele eh, aah

Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Ona mama analia watoto wanalia
Hata ndani ya nyumba yako umeshindwa kutulia
Vumilia Mungu anakushughulia
One time inna dis time wote watashangilia

Ona Sarah alilia sana ii
Na mwishowe akapata mwana ayayaya..
Mungu amesikia ombi lako amesikia 
Mungu amesikia ombi lako amesikia 

Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Ecouter

A Propos de "Anajua "

Album : Anajua (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 04 , 2021

Plus de Lyrics de BENACHI

Aje
BENACHI
BENACHI
BENACHI
BENACHI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl