BEDA ANDREW Mbali Sana cover image

Paroles de Mbali Sana

Paroles de Mbali Sana Par BEDA ANDREW


Nalikuwa sijiwezi
Unyonge ulinielemea
Sikuwa na tumaini
La mbele kuendelea
Imani ilififi, sikuona kabisa
Kama moja ya nyenzo ilyotikisika
Nalikosa tabasamu usoni
Tegemeo sikuona maishani

Nikashindwa endelea mbele
Hali iliyofanya nikwame Kule
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru sana
Ulikonitoa mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Nashukuru bwana
Uliona haiko shwari Mimi kupotea njia
Sijui ni namna gani uliwaza ukanihurumia
Na nilifanania jangwa mvua kutonyeshea
Nami mche mbichi maji yalinikaukia
Shida mateso Sina tena yamewekwa nyuma
Mimi wa Yesu mwingine Sina wa kunirudisha nyuma
Wakati wa kuokolewa umekubalika
Kwa haki na ushupavu wake ukatimizika
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru bwana
Ulikonitoa ni mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Kwenye mateso Kule
Mbali sana
Nalionelewa
Ukanisaidia
Mbali sana
Eeeh mbali eeeh
Mbali sana
Ulikonitoa bwana wewe
Nashukuru wewe
Nashukuru bwana
Naah naah
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana

Ecouter

A Propos de "Mbali Sana"

Album : Mbali Sana (Album)
Année de Sortie : 2019
Copyright : ©2019
Ajouté par : Trendy Sushi
Published : Mar 10 , 2020

Plus de Lyrics de BEDA ANDREW

BEDA ANDREW
BEDA ANDREW
BEDA ANDREW

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl