BAHATI Mapenzi cover image

Paroles de Mapenzi

Paroles de Mapenzi Par BAHATI


Na na na
Hehehehe
hapo mwanzoni, hapo mbeleni
shamba Edeni, ah story ya mapenzi

wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana
mapenzi yanatesa zaidi ya money 
Na yalimtesanga kakangu zamani

nyumbani kawa kisirani,
washiriki katoka kanisani lalala
yalimtesanga kakangu zamani,
wameyalinda wengi  kwa burudani

kwenye yaonyeshwa msalabani lalala
oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa
Oh oh oh, aliyekuumba ni Mola 
Nilifunzwa na Babu ndoa ilivyomtunza,

nikasoma kwa baba naye, Adamu pendana 
Na Adamu akampenda Hawa ndio maana kala lile tunda
hapo ndipo amri ikazaliwa unakumbuka eh,
Na Adamu akampenda hawa nami nadhani tu,,,
mapenzi yafanya tu nachezwa.

oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa?
oh oh oh, aliyekuumba ni Mola 
Nikaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata wangu
Mtoto mama eh,mbona unatesa mapenzi?
mbona unatesa kwa nini? mbona unatesa mapenzi?
Kazini,nyumbani,kanisani.

oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa?
oh oh oh, aliyekuumba ni Mola 
Ah nikaogopa kupenda tena ,nikaogopa kupenda tena,

mungu kaumba mapenzi, mungu kaumba mapenzi,
story ya mapenzi, story ya mapenzi ilianza Edeni.
mungu kaumba mapenzi, mungu kaumba mapenzi
mtoto mama, Bahati tena

Ecouter

A Propos de "Mapenzi"

Album : Mapenzi (Single)
Année de Sortie : 2016
Copyright : ©2016
Ajouté par : Trendy Sushi
Published : Feb 13 , 2020

Plus de Lyrics de BAHATI

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl