BAHATI Bado cover image

Paroles de Bado

Paroles de Bado Par BAHATI


Eeh niaje Deno
Vipi Bahati tena?

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Nimesoma degree na kazi bado(Bado)
Mke wangu anadanga umasikini chanzo(Bado)
Vibarua Eastleigh na kazi bado(Bado)
Nyuma nayo ya kupanga elimu zero(Bado)

Mama analia cancer matibabu bado
Heri yule tajiri atatibiwa Ng'ambo
Baba lini machozi yatafika mwisho
Fanya hima ushuke tumefika mwisho

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona 
Nijue sura ya mke wangu

Pia mwezi na nyota nione
Nikichunguza na kuvutia
Alafu isitoshe
Shida zimeniandama aaah

Kodi sijalipa(Bado)
Jirani anachoma nyama aah
Angalau hata mboga(Bado)

Si ati kwamba nasahau
Unaniwaziaga mema(Bado)
Ila mwisho nimefika
Lakini nakutazamia(Bado) 

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona 
Nijue sura ya mke wangu

Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kupata baraka 
Nifanane na wenzangu

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado

Ecouter

A Propos de "Bado"

Album : Bado (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 EMB Records.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Oct 18 , 2019

Plus de Lyrics de BAHATI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl