Paroles de Nitakase Par ALI MUKHWANA


Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Hii safari ni ndefu Bwana
Nahitaji neema yako
Bwana naomba ooh
Nitawaliwe nawe

Siwezi bila wewe eeh
Siwezi bila wewe uniongoze
Nakuhitaji mwokozi wangu
Nitawaliwe na wewe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe 

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Naomba roho wako mtakatifu
Aniongoze safarini
Naomba Bwana nitawaliwe nawe
Haya mambo ya duniani
Yamekuwa mengi kuliko akili yangu Baba
Naomba Yesu uuh nitawaliwe nawe
Siwezi bila wewe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Ombi la moyo wangu
Moyo wangu wakulilia ewe Yesu
Naomba kila siku nitawaliwe nawe
Siwezi bila wewe, nitazama bila wewe
Nakuhitaji Bwana wangu nitawaliwe nawe
Unitakase Bwana

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Ecouter

A Propos de "Nitakase"

Album : Nitakase (Single)
Année de Sortie : 2017
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Sep 28 , 2020

Plus de Lyrics de ALI MUKHWANA

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl