AKEELAH Nikuache cover image

Paroles de Nikuache

Paroles de Nikuache Par AKEELAH


Haaa haa.. (Shirko Media)

Najiona najiuliza
Kwa nini macho yangu mekundu
Kwa taarifa yako nimetoka kulia
Hivi utaniumiza hadi lini
Litundu la moyo wangu
Mie mwenzako nipate tulia

Japo moyoni, moyoni
Nimejawa na subira, subira
Kuishi na wewe imekuwa kazi
Naona kama inashindikana kweli
 
Kama siyaoni vile, inanitia hasira
Madhila wanifanyia wazi
Kuishi nawe mi naona nishafeli

Nichambane na madem wako
Japo mi huwaga sishiki simu yako
Hivi kwa nini hawatosheki kwako
Waniandame mie

Kunigombeza we ndio zako
Kisa tu naishi kwako
Ushashukisha thamani yako
Kwangu mie

Dawa dawa yako nikuache
Nijiweke mbali nawe
Sawa sawa yako nikuache
Kama mawingu na mawe

Dawa dawa yako nikuache
Penzi lako kaligawe
Sawa sawa yako nikuache
Mi utaniumizaa

Kama kufumania nimekufumania
Sana na Tiffah nikakusamehe, haijatosha
Kusudi unarudia tena kwa kutia nia
Naona sifa mwanamume, umenichosha

Sina jeuri ya kujibu mi najiliza
Mapungufu yangu bubu nakusikiza
Hunaga cha taratibu wakandamiza
Mwanamume una gubu kupitiliza

Nichambane na madem wako
Japo mi huwaga sishiki simu yako
Hivi kwa nini hawatosheki kwako
Waniandame mie

Kunigombeza we ndio zako
Kisa tu naishi kwako
Ushashukisha thamani yako
Kwangu mie

Dawa dawa yako nikuache
Nijiweke mbali nawe
Sawa sawa yako nikuache
Kama mawingu na mawe

Dawa dawa yako nikuache
Penzi lako kaligawe
Sawa sawa yako nikuache
Mi utaniumizaa

Dawa dawa yako nikuache
Nijiweke mbali nawe
Sawa sawa yako nikuache
Kama mawingu na mawe

Dawa dawa yako nikuache
Penzi lako kaligawe
Sawa sawa yako nikuache
Mi utaniumizaa

Ecouter

A Propos de "Nikuache"

Album : Nikuache
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 Shirko Media.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 26 , 2020

Plus de Lyrics de AKEELAH

AKEELAH
AKEELAH
AKEELAH
AKEELAH

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl