
Paroles de Hakuna
Paroles de Hakuna Par ADAWNAGE
Tunakupa sifa zote, Bwana wa Mabwana
Uketiye kwenye Enzi, Mfalme wa wafalme
Makerubi, Maserafi, wote wakutazamia
Ulimwengu umejawa, utukufu wako Bwana
Hakuna, Mungu kama wewe
Hakuna, kamwe kama wewe
Hakuna, wa kulinganishwa nawe
Hakuna, Mungu kama wewe
Hakuna, hakuna, kamwe kama wewe
Nani aokoa (ni wewe)
Nani anaponya (ni wewe)
Nani abariki (ni wewe)
Mungu kama wewe
Nani anaweza (ni wewe)
Nani mkombozi (ni wewe)
Nani anaweza (ni wewe)
Mungu kama wewe
Mtetezi wangu (ni wewe)
Bwana wa mabwana (ni wewe)
Bwana wa majeshi (ni wewe)
Mungu kama wewe
Ecouter
A Propos de "Hakuna"
Plus de Lyrics de ADAWNAGE
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl