Saida Lyrics by DON SANTO


Eh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Eeh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Kwa nini una manga manga?
Acha kumanga, manga daily
Kwa nini una manga manga?

There comes a time in life;
Mwanamme lazima awe na wife
Hata ujaribu kuwa na girlfriend;
Unapata umeliwa by month end
Mke wako kule nyumbani;
Utarudi kwake nyumbani
Huna budi umuoneshe mapenzi;
Uachane na wale wa kando
Sasa wewe Saida mami


Mbona unapenda kuwa chips funga?
Una watoto fogo kama mtama
Ila bado wewe wajikaranga!
Sasa wewe Saida mami
Mbona unapenda kuwa chips funga?
Una watoto fogo kama mtama;
Ila wewe bado wewe wajikaranga!

Kwa nini una manga manga?
Eh Saida! Saida mama!
Kwa nini una manga manga?
Mbona wewe mami, unamanga manga kila day?
Kwa nini una manga manga?
Eeh Saida! Saida!
Kwa nini una manga manga?

Saida yule yule patikana na boda boda!
Saida yule tena ameshikwa na MCA!
Saida yule yule ametiwa mimba na nani!
Saida huyu huyu amepigwa sokoni kule!
Saida yule tena anenguwa kiuno pale! (Whistle)
Saida tena nini wabadili rangi ya mwili?
Unalamba moto, utakuja chomwa;
We Saida unalamba moto, utakuja chomwa

Eh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Eeh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Kwa nini una manga manga?
Acha kumanga, manga daily;
Kwa nini una manga manga?

Watch Video

About Saida

Album : Saida (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021 Klassic Nation
Added By : Don Santo
Published : Jan 27 , 2021

More DON SANTO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl