DOGO CHARLIE Quarantine (Parody) cover image

Quarantine (Parody) Lyrics

Quarantine (Parody) Lyrics by DOGO CHARLIE


Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen
Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen
 
On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Nyanya wacha zako na ujidai

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen
Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Nyanya wacha zako na ujidai

Kwanza Shika
Kisu nikama unanikata
Kwa nyama nawekwa
Kwa sausage Yai na Samosa

Sometimes naboeka, kwa canteen
Mkinibuy nacheka, kwa canteen
Kwa nyumba ninapelekwa, kwa canteen
Siringi nikikarangwa, kwa canteen

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen
Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Kitunguu wacha zako na ujidai

Niko na taste ile safi
Kila time kwa chakula hunikosi
Ukinikata ni uchokozi
Nitarevenge utatokwa na machozi

Ukinifry, fry fry fry
Rangi ina turn, turn turn turn
Leta oil unikarange
Ah, oil unikarange wewe

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen
Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Cabbage wacha zako na ujidai

Me hufeel good when i’m fried
Nikipakuliwa na ka stew
Ya mayai, ya samaki
Mimi ndo baba yao coz i’m white

I’m very sweet ohh
Cabbage cabbage cabbage
Nikikarangwa na Royco
Cabbage cabbage cabbage

Kwa canteen ya Dogo mi ndo ni chizi, chizi
Nami jina langu naitwa Ndizi, ndizi
Ukiskia Nyaboke take it Easy, chizi
Ju shemeji zangu wanaishi Kisii

Si nimeiva, si si nimeiva
Ona ona si nimeiva
Si nimeiva, si si nimeiva
Ona ona si nimeiva

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen
Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Ndimu waccha zako na ujidai
Eat me eat me, put me sugar eat me
I’m so bitter not that sweet
Put me sugar eat me

See see look at me
Nyam nyam nyam, nyam nyam nyam
See see look at me
Nyam nyam nyam, nyam nyam nyam

Dogo amemkata wawawa wa
Aiyaiyayaiya ahh
Aiyaiyayaiya ahh
Dogo Amemkata

Watch Video

About Quarantine (Parody)

Album : Quarantine (Parody) (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 06 , 2020

More DOGO CHARLIE Lyrics

DOGO CHARLIE
DOGO CHARLIE
DOGO CHARLIE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl