C CIPI Ni Ya Mtaa cover image

Ni Ya Mtaa Lyrics

Ni Ya Mtaa Lyrics by C CIPI


Tunatoka Ghetto na bado tuna ndoto
Mtaa hakuna mataa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Nataka niwe taa ya ghetto(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Ng'ang'ana kazana wewe ni shujaa
Struggle, hustle, hutalala njaa
Huwezi muomba akunyime taa
Ana kila kitu, store yake imejaa

Life ni kujikaza kama soldier ndani ya kambi
Kwani umasikini kaka-dada sio dhambi
Utajiri si kitambi 

Hata usikie uduu aje, usiwai kunywa sumu
Usiwahi kata tamaa hata life ikuwe ngumu
Ng'ang'ana jikaze kama kamba za njumu

Kumbuka inakatwa na inamea kucha
Usiku kuwa refu haimaniishi hakutakucha
Your past to be dark, yeah it doesn't mean

Kuna bright future!
Ni ya mtaa, mtaa, mtaa
Ni ya mtaa, mtaa, mtaa

Tunatoka Ghetto na bado tuna ndoto
Mtaa hakuna mataa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Nataka niwe taa ya ghetto(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Utamu wa berry ni root kuwa deeper
Keep it simple, lakini usiwe cheaper
Maono, ndoto zako zilinde kama keeper 

Hustle, jasho itoke na mishipa
Usichoke na kungoja, subira inalipa
Tena penye nia, njia lazima itajipa

Yaani hii ngoma, jo ni dedication
Kwa mayut wote, all over the nation
Ndani ya mambulu, hadi radio station

Jina ni C Cipi, nakupa motivation, inspiration 
Life is a journey, sio destination
Kesho inajengwa na today preparation

Unaneed focus na determination
Manze na utafika penye unataka
Bila hesitation

Tunatoka Ghetto na bado tuna ndoto
Mtaa hakuna mataa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Nataka niwe taa ya ghetto(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Sikiza mistari
Muziki ni dawa na me ndio daktari
Basi kaa tayari, raia, askari
Nikupe habari, maisha ni safari

Life is a journey
Big up Kiamaiko, Huruma ndio nyumbani
Tena its a jungle, ghetto ni njagwani
Lazima u-struggle, hustle uget money

Never ever give up, jo maishani
Kwani penye nia pana njia si utani
Unaweza kuwa chochote duniani
Kwani hakuna kitu,haiwezekani
Jiamini tu na utamake it yaani

A week, a month, is what make a year
Step by step, where you wanna be
Utaget near, live  without fear
Its only in God, you can see the star

Tunatoka Ghetto na bado tuna ndoto
Mtaa hakuna mataa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Nataka niwe taa ya ghetto(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Tunatoka Ghetto na bado tuna ndoto
Mtaa hakuna mataa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Nataka niwe taa ya ghetto(ni ya mtaa mtaa mtaa)

Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)
Mi nitawasha mtaa(ni ya mtaa mtaa mtaa)

 

Watch Video

About Ni Ya Mtaa

Album : Ni Ya Mtaa (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 18 , 2019

More C CIPI Lyrics

C CIPI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl