Tusamehe Lyrics by BASIL KIONGOZI


Jawabu Studios
Saiii Kweli Baba tumekosa mbele zako
Ni Kweli daddy tumekosa mbele yako
Ila najua kwa kutubu tutapona sisi sote
Ila najua kwa kutubu tutapona sote
Ila najua kwa msamaha tutapona sote

Najua tumeasi mbele zako Baba Tena Mbele zako
Tusamehe Hatuna pa kuenda Ila pako tu Baba tusamehe
Matukio matukio mbali mbali yametokea mengi Baba
Matukio matukio mbali mbali yametokea mengi Baba

Mengine ya kuogopesha 
Mengine ya kuhuzunisha
Eeeeeeeh Yesu 
Ingilia Kati yetu 
Shuka tusamehe Baba
Shuka ingilia Kati 
Baba 
Utusamehe

Shuka Tena ponya nchi zetu 
Kwa rehema tusamehe 
Najua tumeasi mbele yako 
Tenaaa sanaar 
Tusamehe
Hatuna pa kuenda Ila kwako tu Baba

Tusamehe 
Umeshangaza wengi Bwana Yesu 
Tena kwangu nami nishangaee
Umeshangaza wengi Bwana Yesu
Tena Kwangu Nishangaee
Unastaajibisha Bwana Yesu tena Kwangu 
Nami nishangaee
Tena Kwangu na Mimi nishangaee
Tenaaa na Mimi nishangaee
Tena na kwangu Bwana na Mimi nishangaee

Tuliamua tunakmba nao wote wamepata majibu
Nami bado 
Tena na kwangu bado 
Tenda kwangu nami nishangaee

Tuliokua tunashirikia mateso yetu wote wamefanikiwa 
Na Mimi bado
Tenda Nami nishangaee
Tenda na Mimi nishangaee
Tenda na Mimi nishangaee
Tenda na Mimi nishangaee

Bwana umeahidi
Na Mimi 

Watch Video

About Tusamehe

Album : Tusamehe
Release Year : 2020
Copyright : ©2020
Added By : Its marleen
Published : May 01 , 2020

More BASIL KIONGOZI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl