ZABRON SINGERS Usiniache  cover image

Usiniache Lyrics

Usiniache Lyrics by ZABRON SINGERS


Sitaki kuwa wa hivi hivi mimi
Kuipenda dunia nikaikosa mbingu
Kuwa vumbi la majivu kwa watakatifu
Litakalo kanyagwa na wa washindi wa dhambi

Sitaki kuwa wa hivi hivi mimi
Kuipenda dunia nikaikosa mbingu
Kuwa vumbi la majivu kwa watakatifu
Litakalo kanyagwa na wa washindi wa dhambi

Duniani mbinguni Mungu tuwe wote
Mbali ulikonitoa usiniache
Na ukiwa umeniheshimisha hapa chini
Yesu akija ruhusu niende na yeye

Ninafurahi kuona vile unanijali
Nikiwa mdogo mkubwa Mungu uko nami
Kwenye vikwazo vitisho umekuwa na mimi 
Mchana usiku bega kwa bega uko nami

(Eh usiniache Mungu wangu)
Baba tangu nikiwa mdogo mdogo umekuwa nami
Siku zote
(Umenibariki vingi, ukanisamehe mengi)
Baba ukinibariki unikumbushe nisikusahau
Siku zote

(Nia yangu mi unimiliki baba yangu jana, leo)
Baba na mpango kwenda Jerusalem
Unikumbuke niwe pale
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache  (Baba) Siku zote

Umenibariki vingi (Baba) 
Ukanisamehe mengi (Baba) 
Usiniache (Baba)

Nia yangu Mungu (Baba)
Unimiliki baba yangu (Baba)
Jana leo hata kesho (Baba)

Lutu alikataa kubaki hivyo hivyo
Ukakataa kupenda uovu wa Sodoma
Katikati ya mji wa uovu wa dhambi
Kwa uaminifu ukamuakilisha Mungu

Lutu alikataa kubaki hivyo hivyo
Ukakataa kupenda uovu wa Sodoma
Katikati ya mji wa uovu wa dhambi
Kwa uaminifu ukamuakilisha Mungu

Naomba nami niwe mtumwa mwaminifu
Niwakilishe vyema jina la Yesu
Hata kama dunia ikidhiri uovu
Ruhusu nisimame nikutetee

Na siku ile Mwokozi wangu ataporudi
Aseme vyema we ni mtumishi mwema
Kisha nikae nipae mawingu nina Yesu
Kuanzisha familia mpya na Mungu

(Eh usiniache Mungu wangu)
Baba tangu nikiwa mdogo mdogo umekuwa nami
Siku zote
(Umenibariki vingi, ukanisamehe mengi)
Baba ukinibariki unikumbushe nisikusahau
Siku zote

(Nia yangu mi unimiliki baba yangu jana, leo)
Baba na mpango kwenda Jerusalem
Unikumbuke niwe pale
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache Mungu wangu (Baba)
Usiniache  (Baba) Siku zote

Umenibariki vingi (Baba) 
Ukanisamehe mengi (Baba) 
Usiniache (Baba)

Nia yangu Mungu (Baba)
Unimiliki baba yangu (Baba)
Jana leo hata kesho (Baba)

Watch Video

About Usiniache

Album : Usiniache (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 09 , 2022

More ZABRON SINGERS Lyrics

ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl