Z ANTO Sumu Baridi cover image

Sumu Baridi Lyrics

Sumu Baridi Lyrics by Z ANTO


Sikutamani uende mbali nami
Kwa jinsi ulivyokuzoea
Wandoko umechuya moyoni ndani
Unaniwinda bila ya kujua

Shoga zako walisema una roho mbaya
Nikawapuuza nikawaona wabaya
Wengine wakasema siri zangu unazimwaga
Nikawacheki kwa mathara

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Nilijua penzi lako tiba
Lingeponya maradhi yangu
Kumbe pendo lako limekula mwiba
Limechoma moyo wangu

Umenifanya niwe na roho mbaya
Ila anayenipenda naona wale wale
Mapenzi yamenikaba pabaya oooh

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi 
Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi 
Everybody
Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi 

Watch Video

About Sumu Baridi

Album : Sumu Baridi (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 06 , 2020

More Z ANTO Lyrics

Z ANTO
Z ANTO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl