Leo Lyrics by YOUNG KILLER


Tunafunga tu mitambo

Tusifoka wafokiane kuwaste time I swear
Wanalazimika kufosi --, ilivyojaa mwna pea
Wanajazwa vichwa na moshi, ndio sosi ya kuongea
Kinachohuzunisha wanatupia alafu wanatupa chemba tunashare

Na si sometimes
Sometimes tunachungulia
Sometimes tunapata
Alafu sometimes wamefulia

Yaani sometimes ka tunacheka
Sometimes tunawakazia
Yaani sometimes hatunaga presha
Kwenye utamu ndo tunahaulia

Na nikidondosha tenzi, namwaga kesi 
Hakuna shenzi anaye bow bow
Watendezi hawa, wakipewa beat 
Hawanyooshei sadakti

Vikozi kozi, vinasty
Mabitozi ma--
Wanadream ya kuwa mabilionaire
--

Leo tunawaza, tukiiva
Na nikitua mwanza, mwewe
Inashangaza kunidisrespect
Na nina watoto wawili kama wewe
Sio washamba sio vilaza nanda kama wewe
Wapi kuna fala kama wewe

Kuchochea kuni alafu hamjui kupika
Kuleta uhuni kwa walio pigika
Nikupe salio alafu unipigie
Ni kuzoa maji yaliyomwagika

Nipeeni kipaza niwachanie
Dada zenu wanafarijika
Kusanyikeni buku mtimie
Ili mvunje history tulioandika
Chap chap chap

Tunazima taa, haters wanaaibika
Tunafunga tu mitaa
Maskio yote kwenye spika

Leo leo, watatii
Leo leo, kama we ni hater chill
Leo leo, yaani sio siri
Leo leo, tunatumia naku pia

Ruka na mimi, ukiruka na mimi 
Naruka na nyinyi, naruka na nyinyi
Nikiruka na nyinyi, mnaruka na mimi
Ruka na mimi, ukiruka na mimi 
Naruka na nyinyi, naruka na nyinyi

Trust me, sitaki kusikia sorry
Ukinitia doa, nakutia dole, nakwambia pole
Ukinipandishia mori 
Nakugeya pin, nakwambia uchore

Hizi mambo, zina wenyewe manze
Na wenyewe ndio sisi
So, yoyo nipee displine
Nakujiikaanga tu --

Tunazima taa, haters wanaaibika
Tunafunga tu mitaa
Maskio yote kwenye spika

Leo leo, watatii
Leo leo, kama we ni hater chill
Leo leo, yaani sio siri
Leo leo, tunatumia naku pia

Watch Video

About Leo

Album : Leo (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 08 , 2019

More YOUNG KILLER Lyrics

YOUNG KILLER
YOUNG KILLER
YOUNG KILLER
YOUNG KILLER

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl