WILLY PAUL Kamataa cover image

Kamataa Lyrics

Kamataa Lyrics by WILLY PAUL


Bebi wamesanya ngoma yangu pozze aah
Naskia uduuuu

Si bebi wamesanya vitu zangu mmmh
Naskia uduuuu
Bebi katika washa ngaaa
Kumbe wakenya ni mabazuu
Mabazu ngaaa
Ngaa kamata pepeta
Katoto kazuri
Basi bembeleza aah
Kamatako  hii
Kamata, kamata
Kamata kwa chini
Basi kamata kamata
Kamatako  hii

Niite simba
Mi ndio king kwenye game
Hawana  keshima hatuwezi Kuwa same
Kamata alafu endesha kama baisikeli
Kamata salaam aleikum
Usimess na mkenya ni mtu mbaya
Ata ku ni mtu mbaya
Mi nitatetea sauti ya wanyonge
Si mi ni pozze eeeh
Kamata pepeta
Katoto kazuri basi bembeleza
Ngaa, Kamatako  hii
Kamata, kamata
Kamata kwa chini
Basi kamata kamata
Ngaa, Kamatako  hii
Kamata, kamata
Kamata kwa chini
Basi kamata kamata
Ngaa, Kamatako  hii

Bebi inama achana copycat
Wale wanigwaya coz mi ni nomaree eeh
Bebi inama alafu katika
Washamba wamegwaya coz nitawandika aah
Mbona mwanikera ra ra ra
Kenyan boy ii
Mbona mwanisanya nya nya nya
Kenyan boy ii
Madem wetu ni wetu
Kaeni na wenu
Ngaa, ngoma zetu no zetu
Toeni na zenu
Ngaa, kamata pepeta
Katoto kazuri basi bembeleza
Ngaa, Kamatako  hii
Kamata, kamata
Kamata kwa chini
Basi kamata kamata
Ngaa, Kamatako  hii
Kamata, kamata
Kamata kwa chini
Basi kamata kamata
Ngaa, Kamatako  hii
Kamatako  hii
Kamatako  hii
Kamatako  hii

Watch Video

About Kamataa

Album : Kamataa (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Jun 30 , 2021

More WILLY PAUL Lyrics

WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl