WILLIAM YILIMA Uko Wapi Mungu cover image

Uko Wapi Mungu Lyrics

Uko Wapi Mungu Lyrics by WILLIAM YILIMA


Uko wapi eeeeh Mungu wangu 
Uko wapi njoo niokoe(x2)

Mawimbi yanataka kuniangamiza
Misukosuko yananiandama
Majaribu hazikomi kwangu
Uko wapi Fanya hima niokoe
Uko wapi eeh Mungu wangu
Uko wapi njoo niokoe 
Mawimbi yanata kuniangamiza 
Misukosuko yananiandama
Dhoruba na majaribu hazikomi kwangu
Uko wapi Fanya hima niokoe

Uko wapi eeeeh Bwana
Usifiche uso Bwana
Nitachoka pekee yangu sitaweza 
Uko wapi Jehovah mbona Ni Kama umeniacha 
Usifiche uso wako Eeeeh Bwana 
Usifiche uso wako Bwana 

Nimevumbikwa 
Amani kwangu Ni Kama ndoto
Ole wangu nikifurahi siku moja
Siku sita nitalia wiki ipite  
Nikisimulia kwa ndugu wanasema nitajijua na Mungu wako
Wakati mwingine natamani Heri 
Nife
Kuliko niishi ninyanyasike hivi
Nimevumbikwa wimbi na mawazo amani 
Kwangu Ni Kama mawazo

Uko eeeeeh Mungu wa Elia 
Uko wapi eeeeeh Mungu wa Isaka 
Elishadai Fanya Mambo uniokoe
Uko wapi nikama umeniacha 
Usifiche uso wako Bwana

Nachoka pekee yangu sitaweza
Uko wapiiiiiiii eeeeeeh Bwana 
Mbona nikama umeniacha 
Usifiche uso wako Bwana
Nachoka pekee yangu sitaweza
Uko wapiiiiiiii eeeeeeh Bwana 
Mbona nikama umeniacha 
Usifiche uso wako Bwana

 

Watch Video

About Uko Wapi Mungu

Album : Uko Wapi Mungu wangu
Release Year : 2017
Copyright : ©2017
Added By : Its marleen
Published : Apr 21 , 2020

More WILLIAM YILIMA Lyrics

WILLIAM YILIMA
WILLIAM YILIMA
WILLIAM YILIMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl