Tanzania Lyrics by WALTER CHILAMBO


Eh Mungu asante 
kwa nchi yetu Tanzania (Asante)
Ni wewe uliyeumba mataifa yote
Ikiwemo Tanzania

Umetubariki umoja na amani
Uzalendo mshikamano
Kama bendera inavyopepea
Ni ishara ya kwamba Tanzania ni ya amani

Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama
Bahari na uoto wa asili na milima
Ukatupa amani na uhuru Tanzania
Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri

Najivunia kuwa Mtanzania(Najivunia mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Mtanzania halisi eeh)
Najivunia kuwa Tanzania
Najivunia kuwa Tanzania (Nchi nzuri salama)
Nchi yangu

Amani tuliyonayo ooh
Wengine hawana (Hawana)
Umoja tulio nao 
Wengine hawana (Hawana)

Hata madini ya tanzanite
Huwezi pata mahali pengine 
Nje ya Tanzania hakuna 

Mlima mrefu Kilimanjaro
Baraka ya Tanzania
Tunajivunia eeh 

Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama
Bahari na uoto wa asili na milima
Ukatupa amani na uhuru Tanzania
Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri

Najivunia kuwa Mtanzania (Najivunia mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Nchi yenye amani na upendo)
Najivunia kuwa Tanzania (Tanzania salama eeh)
Najivunia kuwa Tanzania (Nakupenda Tanzaniia)

Najivunia kuwa Mtanzania (Mimi mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Taifa langu salama)
Najivunia kuwa Tanzania (Najivunia kuwa tanzania)
Najivunia kuwa Tanzania (Eeh nchi yangu)

Tanzania, Tanzania, Tanzania
Tanzania, Tanzania, Tanzania

Watch Video

About Tanzania

Album : Tanzania (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 28 , 2020

More WALTER CHILAMBO Lyrics

WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl