Sijaona Lyrics by WALTER CHILAMBO


Aaahhh Thank you Jesus
Thank You Lord,Hallelujah
Sijaona Kama wewe sijaona
Sijaona kama weweee bwanaa

[CHORUS]
Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe eehh Bwana
(Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe eehh Bwana
Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe eehh Bwana)

[VERSE 1]
Nimekukimbilia wewe ili nisiaibike
Nakinywa changu kinene utukufu kwako milele
Nisiwe mbali na uso wako,na kweli yako inifunike
Giza litapotanda,Nuru yako inimulike
Nitakuimbia Zaburi,wimbo wa moyo wangu
Sitoacha kukusifu,ewe MUNGU wangu
Tena kwa wingi wa fadhili,na wema wako kwangu
Utadumu milele ,maishani mwangu uuuuuhh

[CHORUS]
(Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe bwanaa
Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe Bwana)

[VERSE 2]
Nitatangaza ushindi asubuhi na mapema
Maana vita yangu YESU ni wewe umenishindia
Na lile vazi la aibu ukanitoa ukanivika la heshima
Niseme nini Bwana hakuna kama wewe eeehh
Nitakuimbia Zaburi,wimbo wa moyo wangu
Sitoacha kukusifu,ewe MUNGU wangu
Tena kwa wingi wa fadhili,na wema wako kwangu

[CHORUS]
(Sijaona kama wewe
Sijaona kama wewe bwanaaa
Utadumu milele ,maishani mwangu uuuuuhh
Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe Bwana
Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe Bwana
Sijaona kama wewe eeehhh
Sijaona kama wewe Bwana)

Watch Video

About Sijaona

Album : Sijaona (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Jun 08 , 2020

More WALTER CHILAMBO Lyrics

WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl