TUMAINI MBEMBELA Yesu Nataka Kusema Nawe cover image

Yesu Nataka Kusema Nawe Lyrics

Yesu Nataka Kusema Nawe Lyrics by TUMAINI MBEMBELA


Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nisikie 

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Hodi eeh Yesu, nataka kusema nawe
Naomba nifungulie, nataka kusema nawe
Naomba nisikilize, nataka kusema nawe
Nataka kusema nawe, Rabi
Nataka kusema nawe, Shammah
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe ni tofauti na wanadamu
Wewe uko tofauti sana na wanadamu
Wanadamu nikisema nao, kesho watanigeuka
Wanadamu nikisema nao, kesho watanizunguka

Nataka kusema nawe, wewe wee Yesu
Nataka nikuambie baba
Wewe huna kifua cha kutunza siri yangu
Wewe ni mwaminifu
Wewe una majibu, ya maswali yangu
Wewe una majibuu...

Nataka niseme nawe, kwa habari yangu
Nataka niseme nawe, kwa habari ya kanisa 
Nataka niseme nawe, kwa habari ya nchi yangu
Nataka kusema nawe, wewe msikivu
Nataka kusema nawe, wewe mnyenyekevu
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe Mungu unanijua, toka kuzaliwa kwangu
Haja yangu unaijua, naomba ukaniguse
Gusa maisha maisha yangu
Gusa maisha huduma yangu
Nifute machozi eeh Yesu

Mbele yangu nawaleta, mbali mbali
Wengine ni wagonjwa, naomba ukawaponye
Hawana baba wala mama, wewe ni baba yao
Naomba ukawalee... hee

Wengine ni wajane, wewe ni mume wao
Naomba ukawalee
Natamani nchi yangu, kuona amani inatawala
Kila siku ni burudani, hakuna mabomu
Hakuna vilio, siku zote ni amani
Tawala viongozi wetu, bila wewe hawawezi
Hekima yako itawale, katika maisha yao

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe, nakutegemea 

Watch Video

About Yesu Nataka Kusema Nawe

Album : Yesu Nataka Kusema Nawe (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 07 , 2019

More TUMAINI MBEMBELA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl