SUSUMILA Kila Mtu cover image

Kila Mtu Lyrics

Kila Mtu Lyrics by SUSUMILA


Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe

Karibu Kenya, nchi ya kitu kidogo
Karibu Kenya, nchi ya wapenda hongo
Nchi ya wezi, wafujaji wa pesa
Nchi ya mtu wetu, nchi ya ukabila

Nchi ya wasojali, shamba la wanyama
Looters wanaloot hawajali hata wamama
Kwenye maternity wanakufa wamama
Pesa za umma kirahisi zinazama

Wabunge, waizi
Ma MCA, waizi
Ma Senetor, waizi
Ma Governor, waizi

Kila mtu ni mwizi sikuhizi
Na hao wezi, tumewachagua sisi wezi
Anyway, sisi ndio wale wezi
Mafisadi, sote corrupt wezi
Hatupigi kura, mpaka kitu
Hatujali utu, utu wa mtu kitu aah

Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe

Tulipanda tunavuna don't complain
Miaka mingi tangu uhuru, still in vain
Watoto wanalia, tumbo pain
Wacha tuvumilie, no pain no gain

2022 wataback again
Na kura watataka tutawapa again
Wembe ni ule ule, mara tano tena
Na sura zile zile, naona zikirudi tena aah

Mapastor, waizi
Mashehe, waizi
Waganga, waizi
Wasanii, waizi

Kila mtu ni mwizi sikuhizi
Na hao wezi, tumewachagua sisi wezi
Anyway, sisi ndio wale wezi
Mafisadi, sote corrupt wezi
Hatupigi kura, mpaka kitu
Hatujali utu, utu wa mtu kitu aah

Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe

Watch Video

About Kila Mtu

Album : Kila Mtu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 10 , 2019

More SUSUMILA Lyrics

SUSUMILA
SUSUMILA
SUSUMILA
SUSUMILA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl