SUNNY Navimba cover image

Navimba Lyrics

Navimba Lyrics by SUNNY


Nimumunye nini?
Ing'ate ing'ate
Sukuma chini 
Umate umate

Nyuzi tisini 
Nitume nifuate
Nakesha kibindoni tamu
Ifuate ifuate

Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela
Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela

Twanga kama kokoto(Kikaaongoni)
Chezesha na kiboko(Yai nyoni)
Show zetu sio local(Vuka mtoni)
Pita chuchu kwa chuchu(Nipande kilimani)

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)

Wataumia koo 
Wanaoleta leta mizozo
Wambea wape kisogo
Tulimalize zogo, ooh yaye

Yawabo, yawaboa
Kunidekeza kitoto, yawaboa
Ni mchumba kisha ondoa
Kama madikodiko watakodoa

Pute najiwasha mwenyewe
Peke yako wanikosha mwenyewe iyo
Wanga wanaona gere 
Wowowo

Twanga kama kokoto(Kikaaongoni)
Chezesha na kiboko(Yai nyoni)
Pita chuchu kwa chuchu(Vuka mtoni)
Show zetu sio local(Nipande kilimani)

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

Twanga kama kokoto(Kikaaongoni)
Chezesha na kiboko(Yai nyoni)
Pita chuchu kwa chuchu(Vuka mtoni)
Show zetu sio local(Nipande kilimani)

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela
Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)

Watch Video

About Navimba

Album : Navimba (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 11 , 2019

More SUNNY Lyrics

SUNNY
SUNNY
SUNNY
SUNNY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl