SONGA  Money Paper cover image

Money Paper Lyrics

Money Paper Lyrics by SONGA


Money money money
Nataka hizo paper
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper

Ukinipa salamu nitashukuru
Ila ukinipa pesa siwezi kusahau soon
Maana ni tam kutumia mapenzi yanarun moyoni
Pesa ina run dunia
Ikikupitia kushoto watu wanaturn kulia
Watu wanakupanga mwanangu ndo ujanja mwanangu
Dem hapendi six packs, mbele ya mkwanja mwanangu
Tupige kazi tena daily sababu tuna zihitaji more kama Dewji
Jinsi zinanipigisha show kama crazy
Huna hela unajifanya bishoo kushinda JayZ

Nigga huwezi kuwa serious kabisa 
Una thao mbili unataka kula biriani la sinza
Niko na machizi tukimixer una mixer 
Ya kusaga mashilingi ya kufix down mashida

Money money money
Nataka hizo paper
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper

Usinione bishoo kwa kuwa msafi tu
Nitakutoa roho ubaki roho juu
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper

Inauma kupiga dili na ufeli
Hata ka ulikopesha ukweli utadai kweli
Sawa pesa haileti furaha 
Ila bora kulia ndani ya Range sio juu ya baiskeli

Kabla kazi na dawa, kazi na sala inaanza
Ukipata shukuru kwa maana usawa unakaba
Wasaidie wasiojiweza maana ndo baraka baba
Usishangae siendi church nasaka sadaka kwanza

Iwe sarafu au noti dili ninazo
Nazipenda ka wanangu wa Moshi Kilimanjaro
Tuzisake usiseme ni adimu si hayo
Tuliza kichwa acha wazimu dili kibao
Boost kibao, push michongo
Jibwa lisipotee kwa ile miluzi ya uwongo
Tukiwa kwenye mazungumzo muhimu zima mziki
Pesa ikiongea ongeza sauti kidogo

Watch Video

About Money Paper

Album : Money Paper (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 13 , 2020

More SONGA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl