Mfalme wa Amani Lyrics by SOLOMON MKUBWA


Daudi kasema, nilikuwa kijana sasa ni mzee 
Sijawahi kuona mwenye ameachwa mimi 
Wala watoto wake kuombaomba mikate barabarani 
Mungu ni mwaminifu, kwa ahadi zake wanadamu 

Mungu ni mwaminifu, kwa ahadi zake si kama wanadamu
Akiongea Yesu ameongea
Akikuahidia kitu, Baba ameahidi na ujasiri
Atatenda kwa wakati wake 
Ninamwita Bwana wa amani 

Ninamwita mfalme wa amani 
Ndio maana mimi ninaimba kwa sababu ya amani yake 
Ni uwezo gani, uwezo gani unaominga Baba 
Uwezo gani, uwezo gani, uwezo gani
Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe 

Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu 
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu

Usilie, usilie, usiliwe wewe 
Usilie Bwana anakujua ndugu yangu 
Amesikia kilio chako wewe mama 
Unalia nini kwa wanadamu, mama yangu

Wanadamu hawatakusaidia na kitu 
Wanadamu hawatakuwezesha kwa kitu chochote 
Tunaye mmoja anayepanguza machozi ya watu wake
Ni yule mfalme wa amani 

Ni yule aliyesema yote imekwisha 
Mama unayoyapitia ni yeye anayeyaona
Anajua shida yako mama yangu 
Anajua magumu yako baba yangu 

Ukiwa na shida usiende kwa waganga wa dunia 
Ukiwa na magumu usiende kwa wafumu wa dunia 
Muite mfalme wa amani, yeye anajibu maombi 
Ni uwezo gani, uwezo gani unaominga Baba 
Uwezo gani, uwezo gani, uwezo gani

Mfalme wa amani, uinuliwe Bwana wangu 
Yale unayotenda inashangaza dunia nzima 
Wanaokosa amani ndani ya nyumba zao wape amani 
Wanaokosa amani ndani ya kazi zao wape amani

Ni wewe Bwana wa amani ya kudumu
Ni wewe Bwana wa amani ya Afrika 
Amerika wanalia amani 
Tunawe Bwana mfalme wa amani 
Hakuna kitu kile kinachokushinda Bwana
Yeye Mfalme wa Amani 

Mfalme wa amani, uinuliwe Bwana wangu 
Yale unayotenda inashangaza dunia nzima 
Wanaokosa amani ndani ya nyumba zao wape amani 
Wanaokosa amani ndani ya kazi zao wape amani

Watch Video

About Mfalme wa Amani

Album : Mfalme wa Amani (Single)
Release Year : 2016
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 16 , 2020

More SOLOMON MKUBWA Lyrics

SOLOMON MKUBWA
SOLOMON MKUBWA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl