Raha Lyrics by SLEJJ


A say brang'abang'abai
Eeeh le grand Slejj
(Vikypondis)

Nilitafuta tafuta raha
Nikadhani nitapata kwa mambo ya dunia 
Yote niliyoyafanya bure 
Kwangu kujigamba nikaja kugundua eyaa

Nilijiona, eh
Vile mi ni mutu mnoma, eh
Mivinyo nili, bonya eh
Ila Yesu kani, ponya eh

Shetani atu winda winda winda
Analeta shida shida shida
Lakini tuta shinda shinda shinda
Ju mwokozi atu linda linda linda 

Shetani atu winda winda winda
Analeta shida shida shida
Lakini tuta shinda shinda shinda
Ju mwokozi atu linda linda linda 

Kweli kweli nilipotea sana, sana
Ila baba kaniokoa sana eeh 
Mimi kwako nina raha, kwako nina raha
Mimi kwako nina raha, kwako nina raha

Ningalijua, ninavyojua
Eti yote ni ya dunia
Na ya dunia, ni ka maua
Yote mwisho hupotea

Nilidhani mi hodari 
Kuwacheza ki Arsenali
Wazungu na wahindi wasomali
Wa geti kali na ghetto hadi

Shetani atu winda winda winda
Analeta shida shida shida
Lakini tuta shinda shinda shinda
Ju mwokozi atu linda linda linda 

Kweli kweli nilipotea sana, sana
Ila baba kaniokoa sana eeh 
Mimi kwako nina raha eh, kwako nina raha
Mimi kwako nina raha eh, kwako nina raha

Kweli kweli nilipotea sana, sana
Ila baba kaniokoa sana eeh 
Mimi kwako nina raha eh, kwako nina raha
Mimi kwako nina raha eh, kwako nina raha

Kweli kweli nilipotea sana, sana
Naye baba akaniokoa sana eeh 
Kweli kweli nilipotea sana, sana
Naye baba akaniokoa sana eeh 

Kweli kwako nina raha, kwako nina raha
Baba kwako nina raha, kwako nina raha

Kweli kweli nilipotea sana, sana
Ila baba kaniokoa sana eeh 
Mimi kwako nina raha eh, kwako nina raha
Mimi kwako nina raha eh, kwako nina raha

Watch Video

About Raha

Album : Raha (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 14 , 2020

More SLEJJ Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl