4 na Kambao Lyrics by SEWER SYDAA


Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Nijigawe shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Nijibwage shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Nijibwage shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Nijibwage shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Kaa rada jo usi-surface, Basata wametuma sanse
Malaya jua we ni serpent tu unatuma rumour ka parcel
Usijaribu kuibia maYahweh, utasinzia juu ya mawe
Scene ilifinyika Salem, mwili ikapelekwa Karen

Still heavy ka canter, we una circus ju ya hamper
Sapa ju walingoja Santa, wakatumiwa spy master
Virusi mi naingia kwa server, system yote imecrush ah
Labda uishi bila purpose ndo utadedi bila cash bro

East tunaishi na kashfa, beast aliangushiwa Nasra
Mazda iligeuzwa kichungi, Gaza amejipin vidungi
Apo unaeza kosa namba, ata ukijaribu comeback
Spy hao ka Itumbi time out ni kivumbi

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Ah siogopi vitisho
Naongojea hiyo siku ya mwisho
Sijai penda tour institution
Nilikuwa ninaskip tuition
Kijana mfupi nono round na si nutrition
Ako na keys to ignition(Rrrrrrr)

Niliamka four na kambao 
Na nikalala five twenty nukta mbao
We ushai chill na mandawuo 
Mkinywa jabe na ndondo mandao
East kuna mtaa zina mababi kibao
Hadi kamagera hawabebi na mbao

Mchele yako ina maji 
Sijai kula pwani hivi wali pilau
Ati? Wali pilau
Yenye imewekwa limau

Umo kuna snitch aliivisha 
Akaingia mlango kubwa 
Tukaingia mlango ya nyuma
Nimeelevate East kuwashinda  
Wakashindwa kwani Dosh ulihamia runda
Tukianikaga mahindi
Si huchinja kuku ikituharibia unga

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Nimeamka 4 na kambao(Mbao)
Ju bag shash kwa hao(Hao)
Time ya kunyanya is now(Now)
Ambia karao is how(How)

Sai navuka mkopo
Yaani nikipost na loan
Na roll na mbogi ya loan
Cheki mayai kwa pan

Kiuno ni kivuli ya gun
Cheza chini usiende chini
Ati uteleza ulimi
Fuata nyayo kama dini

Funga mdomo na kipini
Unabonga mingi ni ka una punani
Nigga kazae Pumwani
Kumbuka bana hii ni lani

Toka sa boy mtaani
Na Sewer Mkadinali
Vile tunazoza hatari
Leta fire, leta nari
Nigga usije na kiburi
Utatumwa ukacheki kaburi

Neno la mwisho kwaheri
Jua hii ka ni safari
Napiga moshi kama mali
Maheadi pomoni kichwani

Watch Video

About 4 na Kambao

Album : 4 na Kambao (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Wakadinali
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 21 , 2019

More SEWER SYDAA Lyrics

SEWER SYDAA
SEWER SYDAA
SEWER SYDAA
SEWER SYDAA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl