SARAPHINA Sitaki Tena cover image

Sitaki Tena Lyrics

Sitaki Tena Lyrics by SARAPHINA


Nitachowaambia msiache kumwambia na yeye
Simchukii na na najipa mweyewe oh no
Oh baby sijutiii kuwa mbali naye
Apunguze presha
Mwambieni sililii 
Penzi lake nilishalihimisha

Hazijabaki memory wala kumbukumbu
Nilishamsahau mazima
Hata nikimwona namwona ka nungu nungu
Sio kama namvunjia heshima 
Makombe amalize ajifushe na nyungu
Akakoge na maji ya kisima
Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu
Haitojirudia tena

Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu
Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu

Dua zake mbaya kwangu nifeli nilipo sasa anajua
Najua likiwa ka kiza kikitanda ananiwaza ananijua
Mwambieni asihangaike na mipasho moyo wake mimi naujua
Sitaki kumdhalilisha nikataja na siri zake nikaamuumbua

Hazijabaki memory wala kumbukumbu
Nilishamsahau mazima
Hata nikimwona namwona ka nungu nungu
Sio kama namvunjia heshima 
Makombe amalize ajifushe na nyungu
Akakoge na maji ya kisima
Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu
Haitojirudia daima

Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu
Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu

Mwambieni sijutiii kuwa mbali naye
Apunguze presha
Mwambieni sililii 
Penzi lake nilishalihimisha

 

Watch Video

About Sitaki Tena

Album : Sitaki Tena (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 14 , 2021

More SARAPHINA Lyrics

SARAPHINA
SARAPHINA
SARAPHINA
SARAPHINA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl