ROSTAM Watani Wa Jadi cover image

Watani Wa Jadi Lyrics

Watani Wa Jadi Lyrics by ROSTAM


Ntakesha mkichoma ubani
Mpandishe Mashetani
Mkija kanzu tobo (waa yaa)
Mpira kwapani
Sisi mabingwa nyikani
Watoto wa jangwani
Labda aje simba wa yuda
Sio nyie simba wa mbugani
Yanga acheni usela
Usela mavi vueni jezi
Vaeni dear litawapendeza ilo vazi
Soka hamuwezi tuwape kibao cha mbuzi mkune nazi
Iko wazi hamna hadna hadhi mbele ya wekundu wa msimbazi
Hadhi gani eh eh, weku ndu gani
Kuku vikombe vya ligi nina vingi sina mpinzani
Aah wapi iyo iyo ligi kuu si rekodi yetu ya juu
Muungano tusker mtani jembe vikombe ka 52
Simba ya mafundi ni ile simba ya sandaland
Sio simba hii ya leo inayo fungwa mpaka na stendi
Nyinyi mlifungwa na mbao faie
Wachezaji mliokosa fikra, mkatoka mnachechemea
Ka demu aliye vunjwa bikra
Leao nimepita kariakoo
Kuna story imenikata stimu
Story gani, haji manara
Ndo mshika irizi wa timu
Mbona nyinyi mechi na ruvu mechi na ruvu
Mlifukia mbuzi golini
Kaka usitoe udhu, niache niende msikitini

Simba eeh, yanga eeh
Wote watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Sisi watani wajadi, watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Wote watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Sisi watani wajadi, watani wajadi
Mi ni simba, kama kweli simba mikono juu
Mi ni yanga, kama kweli yanga mikono juu
Mi ni simba, kama kweli simba mikono juu
Mi ni yanga, kama kweli yanga mikono juu

Ila mpira ulikuwa zamani, kipindi cha lunyamila
Sekilojo chambua kilajalo tatu bila
Sasa unaletaje umwamba, mbele ya said kizota
Sande manara computer dimbani anaotesha ukoka
Enzi hizo winga ya kushoto, ana simana Thomas kipese
Cross anaipiga kwa ugoko, speed kana hiace ya mikese
Nyati nyatu George Masatu ??
Mzee wa kiminyio
Yebo yebo namba waliisoma
Mohamed Hussein machinga
Si tuna Joseph Kaniki
Vipi yanga ya canavaro
Sa pawasa unamuacha vipi ?
Una mkumbuka ally mayai, tembele alimwaga cheche
Mi namkumbuka nteze John uwanjani alikaanga kiepe
Wachezaji wenu bwana nini, kwa ndondo wanaudhi
Juzi nimemfuma mkude anacheza kombe kombe la mbuzi
Hata nyie mna dhiki hamuuziki alafu viburi
Mpaka mkawe ombaomba nakupitisha bakuli (tiwade buuuu)
Ee kid edea bendera ya simba tuna ipepea (semeni suuu)
Mkaozee segerea mme zoea kungoa viti Round hii haina fair
Unatokea tanga cha ajabu hauisapoti cost so
Uzalendo kwanza ndo maana unaitwaga mgosi
Niite roma kagere na coastal chama la nyumbani
Upo yanga wakati kwenu moro mtibwa turiani

Simba eeh, yanga eeh
Wote watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Sisi watani wajadi, watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Wote watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Sisi watani wajadi, watani wajadi
Mi ni simba, kama kweli simba mikono juu
Mi ni yanga, kama kweli yanga mikono juu
Mi ni simba, kama kweli simba mikono juu
Mi ni yanga, kama kweli yanga mikono juu

Boss wenu kigeugeu mguu nje nguu ndani
Hakawii kupost twitter kuwa anabwaga hazarani
Boss wenu ninge muona mjanja
??
Haya tukote bongo twende club bingwa Afrika
Naija utaleta story zako za ac vita unakumbuka taifa nilicho Kufanya 2006
Unafufua makaburi, wakati hata nusu hukufika
Mamki tufunga mwaka huu nakunya dar mpaka moro
Mta ukalia na ndio mta jua kuwa ha mjui nyie utopolo
Bahata mumsajili nani bado mtakalia libolo Nini? Fc
Na mbona CCM na yanga kama zina rangi sawa
Aah aah, acha siasa usilete mambo yako ya ukawa
Duuh kweli yanga ana mimba
Basi nan simba kapakatwa, kwa mkapa kitawaka mfa vuja ka pakacha
Na round hii sahau kabisa kuhusu ubingwa
Timu gani haina duka mnauza jezi kama wamachinga
Kama mwanaume wa kweli rudi twewnde wote taifa
Simba jike we aka mkimbizi hauna jipya

Simba eeh, yanga eeh
Wote watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Sisi watani wajadi, watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Wote watani wajadi
Simba eeh, yanga eeh
Sisi watani wajadi, watani wajadi
Mi ni simba, kama kweli simba mikono juu
Mi ni yanga, kama kweli yanga mikono juu
Mi ni simba, kama kweli simba mikono juu
Mi ni yanga, kama kweli yanga mikono juu

Watch Video

About Watani Wa Jadi

Album : Watani Wa Jadi (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Nov 04 , 2020

More ROSTAM Lyrics

ROSTAM
ROSTAM
ROSTAM
ROSTAM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl