ROSE NDAUKA  Ghost Freestyle volume.1 cover image

Ghost Freestyle volume.1 Lyrics

Ghost Freestyle volume.1 Lyrics by ROSE NDAUKA


Sina mambo mengi giver natoka fasta
Spendi ugomvi mani kali kama rasta
Vile naipiga unaweza sema master
Mtu yeyote akitokea disaster
Wanabisha mama waonyeshe
Beat imekwisha Swabri wakomeshe

Nipe beat mi nipite kama Ghost
Fake wanadiss but bitch wanapost 
Wanataka battle na Rose inawacosti
Kwenye flow hawa ni wezi vichwa boxi

Nawaokoa hawa mapisi kali
Wanazogoa nawachomoa kwa mistari
Ng'oa ng'oa wale wanaoboa habari
Wanadhani naigiza hawajui mi hatari
Game ina watoto na mimi ndio mama yao
Mi nisikate kaizi kibakuli nyama yao
Wanapatwa na wivu coz mi sio kama wao
Wanaogopa umeme kwa maana si waungao
Nawarukisha madebe masela zao nawashukisha manyege
Mitaa ikiniona inasimama dede 
Wananipenda wananiita queen wa walibwende

Wanauliza niko wapi waambie niko hapa
Tena nishadata nishakata nyingi bapa
Kote na kwa lami siku hizi chaka kwa chaka
Kitu nataka ni doh uliza washikaji wanaotaka
Huwezi fosi hizi flow mama utakunya
Popote ukipanda we unataka kuvuna
Nyama ngumu wagumu tunatafuna
Biashara isiyo na mtaji peke yake ni kuuza kuu
We Rozzy kuuza nini? Kuuza kuku bwana

Watch Video

About Ghost Freestyle volume.1

Album : Ghost Freestyle volume.1 (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 09 , 2021

More ROSE NDAUKA Lyrics

ROSE NDAUKA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl