Kimonyoski Lyrics by RICO GANG


Mi unaeza niita Kartelo
Ama unaeza niita kwako 
Hitilafu Sacco in addi area representing
Hatujakuja kupakwa maronyaru

Eeh tumekuja asapa na Rico Gang
Tumekuja kuchachisha
Tumekuja kuwapeleka na rieng, Kabisa!

Hitilafu sacco in addi area representing
Tumechill kwenye baze tunaseti
Si ati nini ama nini ni kumedi
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Oya oya oya 
Ati hapa tunadance na tunazitoka
Toka usiku hadi chee hakuna kuchoka
Ni kuwika tu 
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Watu wa Kariobangi ndio wame carry hio bangi
Nipeleke na rieng manjege wasini landi
Hakuna nare, washa shash na radi 
Venye me hudinya, traco alidhani hii ni pongi yaa

Kazee, aah kazee
Brayo mpenda manyonyo amechill tu kwa baze
Ah, Konyagi dry ju ka si doh hatu chase
Ghetto ni ya wasupa yoh, so tingisha na hiyo pace 

Ukicheki na akina Linda(Oya oya)
Doba za Demakufu(Oya oya)
Sacco ni Hitilafu(Oya oya)
So stretch izo mapaja tu ka (Oya oya) 

Hitilafu sacco in addi area representing
Tumechill kwenye baze tunaseti
Si ati nini ama nini ni kumedi
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Oya oya oya 
Ati hapa tunadance na tunazitoka
Toka usiku hadi chee hakuna kuchoka
Ni kuwika tu 
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Mbogi ni ya Kimonyoski
So original hao wengine wanacopy
Kama huna ngori piga picha na uposti
Na kama huna form si ukam tukuhosti

Aah, hii ni mbogi ya mutaratara
Mbogi ina form hapa hakuna mandrama
Tumechill kwenye baze na akina Sara
Kina Liz, kina Brenda na akina Laura

Oya Kartelo, ameishika Lejo 
Sijaitisha already ashatoa leso
Sijamvuraga na ashaanza kunego
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Hitilafu sacco in addi area representing
Tumechill kwenye baze tunaseti
Si ati nini ama nini ni kumedi
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Oya oya oya 
Ati hapa tunadance na tunazitoka
Toka usiku hadi chee hakuna kuchoka
Ni kuwika tu 
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Mbogi ya kula mutura na kunywa supu
Mamanzi wa fine, wale ni wenye wasupu
Mbogi ya kukula tu mogombero na njugu
Hapa ni malugha na kutoa tu makutu

Niko look sijaparara 
Cheza na mutaratara
Juzi alikula Sara 
Akamrusha tu kwa Laura
Si akavurugwa tu na mbogi pale raonda
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Hitilafu sacco in addi area representing
Tumechill kwenye baze tunaseti
Si ati nini ama nini ni kumedi
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Oya oya oya 
Ati hapa tunadance na tunazitoka
Toka usiku hadi chee hakuna kuchoka
Ni kuwika tu 
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Hitilafu sacco in addi area representing
Tumechill kwenye baze tunaseti
Si ati nini ama nini ni kumedi
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Oya oya oya 
Ati hapa tunadance na tunazitoka
Toka usiku hadi chee hakuna kuchoka
Ni kuwika tu 
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Aaah... mbogi ni ya kimonyoski
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski
Aaah... mbogi ni ya kimonyoski

Watch Video

About Kimonyoski

Album : Kimonyoski (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 25 , 2019

More RICO GANG Lyrics

RICO GANG
RICO GANG
RICO GANG
RICO GANG

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl