REUBEN KIGAME Bwana Ni mchungaji cover image

Bwana Ni mchungaji Lyrics

Bwana Ni mchungaji Lyrics by REUBEN KIGAME


Bwana Ni Mchungaji wangu
Sitapungukiwa Kitu
Hulaza kwenye majani mabichi
Hunongoza Kwa maji Matulivu
Hunihuisha nafsi yangu
Huniongoza kwa njia Za Haki
Nipitapo bondeni mwa mauti
Sitaogopa wewe u nami
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Gongo lako na Fimbo yako
Vinanifariji mimi
Huandaa meza
Mbele yangu
Machoni pa watesi wangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu

Watch Video

About Bwana Ni mchungaji

Album : Bwana Ni mchungaji (Single)
Release Year : 2019
Copyright : ©2019
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 29 , 2020

More REUBEN KIGAME Lyrics

REUBEN KIGAME
REUBEN KIGAME
REUBEN KIGAME
REUBEN KIGAME

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl